Keir Starmer asema Putin hana budi kuketi kwenye meza ya mazungumzo. Watu 9 wauwawa katika shambulio lililofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza. HRW yahusisha makundi yanayoiunga mkono serikali na mauaji magharibi mwa Burkina Faso. Raia wa nchi 43 kupigwa Marufuku kuingia Marekani. Ujerumani yaweka hadharani rasimu ya mpango mpya wa matumizi ya fedha