Waziri wa Ulinzi wa Israel, Israel Katz ametangaza kuwa jeshi lake linapanga kuongeza mashambulizi kwenye maeneo mengi ya Ukanda wa Gaza. Iran yasema imefanya mazungumzo yasiyo ya ana kwa ana na Marekani. Mawaziri wa mambo ya nje wa Urusi na Uturuki wajadili juhudi za kusitisha vita Ukraine