Watu 15 wauwawa katika mashambulizi ya anga ya Israel katika Ukanda wa Gaza. Mazungumzo yajayo ya Urusi na Marekani huenda yakafanyika wiki ijayo. Uingereza yalaani Israel kuwashikilia wabunge wake wawili. Ujerumani yaadhimisha miaka 80 ya kukombolewa kwa kambi ya mateso ya Buchenwald