Jeshi la Israel limeendeleza operesheni zake za kijeshi katika Mji wa Gaza // Wanasiasa wa Iraq wanalenga kufanya mageuzi ya sheria inayowahusu wanamgambo walio nje ya udhibiti wa serikali // Rais wa Marekani, Donald Trump amedai kwamba amefanikiwa kuvimaliza vita vya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo