Ulaya yatoa wito kwa Marekani kufikiria uamuzi wake wa kuwanyima viza wapalestina kuhudhuria mkutano wa UN++++Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limelitaka Baraza la Usalama kuchukua hatua za dharura kuwalinda raia wa Sudan dhidi ya mashambulizi na njaa+++++Watu 13 wamezama baada ya kukimbia mashambulizi ya Kaskazini Magharibi ya Nigeria.