SiasaCanada
Mark Carney kuwa Waziri Mkuu mpya nchini Canada
10 Machi 2025Matangazo
Matokeo ya mwisho yalionyesha Carney alishinda kwa asilimia 85.9 ya kura zilizopigwa kwenye uchaguzi wa uongozi wa Chama hicho.
Carney atalazimika kukabiliana na vitisho vya ushuru vya Rais wa Marekani Donald Trump na kupambana na chama cha upinzani cha Kihafidhina kwenye uchaguzi ujao.
Anamrithi Justin Trudeaualiyetangaza kujiuzulu mwezi Januari baada ya kukaa madarakani kwa zaidi ya miaka tisa.