You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Marine Le Pen
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Ufaransa yajadili kuwaondoa wanajeshi wake Niger
Waandamanaji wamekuwa wwakiandamana mjini Niamey kuishinikiza Ufaransa iwaondoe wanajeshi wote kutoka Niger.
Maelfu waandamana kutaka Ufaransa iondoe vikosi vyake Niger
Maelfu ya raia waliandamana kwenye mji mkuu wa Niger, Niamey Jumamosi 02.09.2023 wakiitaka Ufaransa iondoe vikosi vyake
Macron asema anazungumza na Bazoum kila siku
Macron amesema hawatambui waliofanya mapinduzi ya kijeshi nchini humo
Niger yajiandaa na maandamano makubwa ya kuipinga Ufaransa
Umoja wa Mataifa umesema leo kuwa unatafuta mawasiliano na viongozi wa mapinduzi
Jeshi lamtangaza Brice Nguema kama kiongozi wa mpito Gabon
Brice Nguema alikuwa mkuu wa kitengo cha walinzi wa rais tangu mwaka 2020 japo amehusishwa na kashfa za ufisadi.
China yataka usalama wa Bongo uhakikishwe
Gabon yatakiwa kuhakikisha usalama wa Rais Ali Bongo baada ya kundi la majeshi kutangaza kuchukuwa madaraka.
Niger, Burkina Faso na Mali zaunda jeshi la pamoja
Rais Macron asema ECOWAS inatelekeza majukumu yake kwa mwendo wa kinyonga.
Wahamiaji 6 wamekufa Ufaransa wakijaribu kuingia Uingereza
Wahamiaji 6 wamefariki dunia baada ya boti kuzama kwenye ujia wa maji wakijaribu kuingia Uingereza kutokea Ufaransa.
Zaidi ya wahamiaji 600 waokolewa Bahari ya Mediterania
Meli ya hisani ya Ocean Viking imewaokoa zaidi ya wahamiaji 600 waliokuwa kwenye boti ndogo katika bahari ya Mediterania
MFS: Ufaransa na Italia huwanyanyasa wahamia
Ufaransa na Italia huwanyanyasa wahamiaji katika kivuko cha Ventimiglia.
Utawala wa kijeshi waitisha maandamano makubwa Niger
Kumekuwepo wasiwasi wa usalama kufutia maandamano hayo huku Ufaransa ikidai kuhakikishiwa usalama kwa balozi za kigeni.
Ndege za kwanza kutoka Niger zatua Paris
Ndege mbili za kwanza zilizokuwa zinawabeba raia wa Ufaransa na mataifa mengine ya Ulaya walioondolewa kutoka Niger, zim
Ndege ya uokozi kutoka Niger yatua Ufaransa
Ndege ya uokozi kutoka Niger yatua Ufaransa
Ujerumani yaishukuru Ufaransa kwa kuwaondoa raia wake Niger
Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Annalena Baerbock ameishukuru Ufaransa kwa kusaidia kuwaondoa raia wake Niger.
Ufaransa kuwaondoa raia wake Niger kufuatia mapinduzi
Ufaransa imetangaza mpango wa kuwaondoa Niger raia wake na wa Ulaya baada ya mapinduzi ya kijeshi kufanyika nchini humo.
Ufaransa inapanga kuwaondoa raia wake nchini Niger
Ufaransa inapanga kuwaondoa raia wake nchini Niger kufuatia mapinduzi
Vikwazo vya kiuchumi vya ECOWAS kuwaathiri raia wa Niger
Ombi la Niger la mkopo wenye thamani ya dola milioni 51 limetupiliwa mbali na Benki ya ukanda huo kutokana na vikwazo.
Niger yaituhumu Ufaransa kutaka kumrejesha Bazoum madarakani
Rais Mohamed Bazoum ambaye ni mshirika wa Magharibi, ameshikiliwa na jeshi tangu siku ya Jumatano wiki iliyopita.
Macron kuongoza mkutano wa ulinzi kuhusu mapinduzi ya Niger
Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, leo ataongoza mkutano wa ulinzi kuhusu mapinduzi yaliyotokea Niger.
Jenerali Abdourahamane Tiane ajitangaza kiongozi mpya Niger
Mkuu kikosi cha ulinzi wa rais nchini Niger Jenerali Abdourahamane Tiani, amejitangaza kuwa Rais wa baraza la mpito la n
Watu 6 hatiani kwa mashambulizi ya kigaidi ya Brussels
Mahakama nchini Ubelgiji jana imewatia hatiani ya mauaji watu sita na wengine wawili kwa madai ya ugaidi, baada ya kesi
Zelensky afanya mazungumzo na mkuu wa NATO
Zelensky amesema amezungumza leo na katibu mkuu wa NATO Jens Stoltenberg.
Mshauri wa Macron aituhumu China kupeleka silaha Urusi
Mshauri wa Macron aituhumu China kupeleka silaha Urusi.
Maandamano ya kupinga ukatili wa polisi yafanyika Ufaransa
Takribani watu 2,000 walikusanyik mjini Paris jana na kufanya maandamano mengine ya kupinga ukatili wa polisi.
Jinsi historia ya ukoloni Ufaransa yachangia ghasia za sasa?
Suala la ubaguzi wa rangi ambalo linahusishwa na ukoloni wa zamani wa Ufaransa mara nyingi hupuuzwa.
Zaidi ya watu 700 wakamatwa nchini Ufaransa
Zaidi ya watu 700 wakamatwa nchini Ufaransa wakati wa ghasia za kupinga ukatili wa polisi
Ghasia zaendelea Ufaransa
Ghasia zilizoibuka dhidi ya ukatili wa polisi zimeendelea kwenye miji kadhaa ya Ufaransa kwa usiku wa nne mfululizo.
Maandamano yaendelea kuitikisa Ufaransa
Ufaransa imetawanya polisi 45,000 na magari ya kijeshi mitaani, kukabiliana na ghasia zilizoibuka hivi karibuni.
Walinda amani wa Umoja wa Mataifa kuondolewa nchini Mali
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepiga kura ya kuondoa haraka ujumbe wake wa kulinda amani nchini Mali.
Hamkani bado si shwari Ufaransa kufuatia kifo cha Nahel
Maelfu ya waandamanaji vijana wamepambana na polisi nchini Ufaransa katika ghasia za kulaani kifo cha Nahel.
Watu 667 wakamatwa kote Ufaransa kufuatia ghasia za umma
Jumla ya watu 667 wamekamatwa kote nchini Ufaransa huku maafisa wa polisi wapatao 294 wakijeruhiwa.
Hungary, Poland zapinga mabadiliko ya sheria za Uhamiaji EU
Poland imeiunga mkono Hungary katika kupinga makubaliano ya mabadiliko ya sheria za uhamiaji.
Vurugu zaiendelea Ufaransa kulaani kifo cha kijana Nahel
Maandamano makubwa yameitikisa Ufaransa kwa siku ya tatu mfulizo kufuatia kifo cha kijana aliyepigwa risasi na polisi.
Hali tete Ufaransa watu 150 wakamatwa usiku kucha
Kutokana na hali hiyo Rais Emmanuel Macron aliitisha mkutano wa dharura na mawaziri wake kujadili mgogoro uliotokea.
Macron asema tukio la polisi kumuuwa kijana halikubaliki
Mashirika ya haki yanadai kuwepo ubaguzi wa rangi wa kimfumo katika taasisi za utekelezaji wa sheria nchini Ufaransa.
Miito yatolewa juu ya mageuzi ya mfumo wa fedha wa kimataifa
Benki ya Dunia yazindua mpango wa kusitisha kwa muda malipo ya madeni kwa nchi zilizokumbwa na maafa.
Macron ahimiza mageuzi katika taasisi za fedha za kimataifa
Mkutano wa Paris unafanyika wakati dunia inakabiliwa na mabadiliko ya hali ya hewa na changamoto nyingine za maendeleo.
Uchunguzi kuhusu mauaji ya halaiki Rwanda kuanzishwa tena
Uchunguzi wa madai ya jeshi la Ufaransa kushindwa kuingilia mauaji ya halaiki nchini Rwanda kuanzishwa tena
Waziri Mkuu wa China ziarani katika mataifa mawili ya Ulaya
Ziara ya Li inafanyika wakati waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani Antony Blinken naye akikamilisha ziara huko Beijing.
"Assad astahili kufunguliwa mashtaka," Waziri wa Ufaransa
Rais wa Syria Bashar al-Assad anapaswa kufunguliwa mashtaka.
Sarkozy apoteza kesi ya rufaa juu ya ufisadi
Mahakama ya rufaa ya Ufaransa imetoa kifungo cha miaka 3 kwa Nicolas Sarkozy kwa hatia ya ufisadi na kumshawishi jaji.
Zelenskiy aishukuru Ujerumani, Ufaransa na Uingereza
Mataifa ya magharibi yamekuwa yakiisaidia Ukraine kijeshi katika mapambano yake dhidi ya Urusi.
Waziri wa mambo ya nje wa China kuizuru Ujerumani, Ufaransa
ziara hiyo imefuatia mialiko kutoka kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Annalena Baerbock.
Jeshi la Ujerumani limewaondoa watu 101 kutoka Sudan.
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis ahimiza mazungumzo kumaliza mzozto wa Sudan
Raia wa kigeni na wanadiplomasia kuondolewa nchini Sudan.
Mkuu wa jeshi la Sudan Jenerali Abdel Fattah al-Burhan amesema pande zinazopigana zinahitaji kuzungumza kama Wasudan
Baerbock ziarani China
Ziara ya Baerbock inajiri siku chache baada ya afisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Ulaya Ursula von der Leyen kuwa Beijing
Ulaya na China zatarajia mwanzo mpya wa mahusiano
Ulaya inaitaka China imshawishi rais wa Urusi Vladmir Putin asitishe vita Ukraine
Mfalme Charles III wa Uingereza kufanya ziara Ujerumani
Uamuzi wa kuwatembelea kwanza majirani wa karibu unachukuliwa kama jaribio la kufufua uhusiano baada ya Brexit.
Waziri mkuu wa Ufaransa akemea uhalifu wa waandamanaji
Waziri wa mambo ya ndani Gerald Darmanin amesema zaidi ya askari 150 wa vikosi vya usalama wamejeruhiwa
Ziara ya Rais wa zamani wa Ufaransa yazua gumzo Kongo
Wakati huohuo ujumbe wa Tume ya amani na usalama ya Umoja wa Afrika pia umefanya ziara nchini Kongo.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 5 wa 20
Ukurasa unaofuatia