You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Marine Le Pen
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Vladimir Putin wa Urusi azuru Ufaransa
Hii ni ziara yake ya kwanza nje kama Waziri Mkuu
Maandamano makubwa Ufaransa
Wafaransa wateremka majiani kuishinikiza serikali iregeze kamba katika suala la malipo ya uzeeni
Maoni kuhusu EPAs yatofautiana serikalini Ufaransa
Ufaransa ikijitayarisha kupokea wadhifa wa rais wa Umoja wa Ulaya katika mwezi wa Julai,mada mojawapo kuu katika ajenda yake itahusika na Mkataba wa Ubia wa Kiuchumi(EPAs).
Ufaransa yataka machafuko ya Tibet yakome
Rais Sarkozy asema yuko tayari kuongoza mazungumzo
Chama tawala Ufaransa chashindwa, katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy, anatarajiwa kwa kiasi kikubwa kubadili mtindo wake wa uongozi, baada ya kushindwa vibaya katika uchaguzi wa Mabaraza ya miji uliofanyika jana.
Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa ziarani Afrika kusini
Sarkozy anasema mikataba yote ya kijeshi pamoja na Afrika itadurusiwa.
Rais wa Ufaransa Sarkozy aizuru Chad
Jumuiya zinazopigania haki za binaadamu zimeitaka Ufaransa kutoficha ukweli kuhusiana na Rais Idriss Derby Itno ambaye ana
"Ufaransa na Umoja wa Ulaya zibadilishe sera zake"
Kwa mujibu wa mwandishi wetu Thomas Mösch, mzozo huu unaonyesha wazi kosa la sera za Ulaya barani Afrika. Ili hali iboreke lazima Ufaransa na Umoja wa Ulaya zibadilishe sera zake.
Mkutano wa wafadhili kuinua uchumi wa Palastina mjini Paris
Wapalastina wanahitahji dala zaidi ya bilioni tano kukidhi mahitaji ya kiuchumi kabla ya kuundwa dola yao
Ziara ya Gaddafi Paris
Ziara ya Kiongozi wa Libya nchini Ufaransa na haki za binadamu.
Mashirika ya Haki za Binadamu nchini Ufaransa yakosoa ziara ya kiongozi wa Libya nchini humo.
Mashirika ya Haki za Binadamu nchini Ufaransa yamekosoa ziara ya kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi nchini humo, ambapo leo anaanza ziara rasmi nchini humo kwa shutuma kwamba ni mvunjifu wa haki za binadamu.
Machafuko katika vitongoji vya Paris
Jinamizi la mwaka 2005 latishia kuzuka upya katika maeneo wanakoishi wafaransa wengi wenye asili ya kigeni
Shinikizo la Ufaransa dhidi ya Iran
Sarkozy anahisi nmazungumzo hayatoshi kuitanabahisha Iran
Ufaransa na Libya -gharama ya ukombozi ?
Ufaransa iliafikiana mapatano gani na Libya hadi wauuguzi wa Bulgaria wakatoka korokoroni na kurudi nyumbani ? Biashara ya silaha na kumvalisha gadafi joho safi.
Biashara ya silaha kati ya Ufaransa na Libya
Ufaransa imefunga mikataba gani majuzi na Libya ? hilo ni swali linaloulizwa na baadhi ya wabunge wa Ufaransa.
Rais wa Ufaransa ziarani Afrika
Rais wa Ufaransa,Nicolas Sarkozy amependekeza ushirikiano kati ya Ulaya na Afrika.
Uchumi wa Ujerumani na Ufaransa waimarika
Uhusiano wa kiuchumi kati ya Ujerumani na Ufaransa ni wa karibu sana.Kwa uchumi wa Ujerumani,Ufaransa ni mshirika muhimu kabisa wa biashara.Hali kadhalika,katika uchumi wa Ufaransa makampuni ya Kijerumani huchukua nafasi ya kwanza kama wateja na wagavi.
Uchaguzi wa Bunge nchini Ufaransa
Chama cha UPM (union for popular movement) cha Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa kimeshinda katika uchaguzi wa Bunge jana nchini Ufaransa.
UMP wawaacha guzo wapinzani wao nchini Ufaransa
Chama cha rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa UMP kimejipatia wingi mkubwa wa kura baada ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa bunge kumalizika jana,wadadisi wakiashiria huenda wakalidhibiti kikamilifu bunge .Wapiga kura wachache tuu lakini wameteremka vituoni.
Nicolas Sarkozy amefikia lengo lake la kuwa rais wa Ufaransa.
Nicolas Sarkozy ni rais mpya wa Ufaransa na mrithi wa Jacques Chirac ambaye tangu mwaka 1995 amekuwa akiishi katika kasri la Elysee. Wafuasi wake walipokea habari hiyo kwa vifijo na shangwe.
Ufaransa baada ya uchaguzi wa rais
Machafuko yameripotiwa katika sehemu mbali mbali nchini Ufaransa
Sera ya kigeni kutobadilika nchini Ufaransa.
Wagombea wawili wa marudio ya uchaguzi wa rais wa Ufaransa unaofanyika hapo kesho wamepachikana majina ya kijibwa cha Marekani na mpumbavu wa kidiplomasia lakini wote wawili Nicolas Sarkozy na Segolene Royal watakuwa na sera za kigeni za aina moja wakati watakapokuwa madarakani.
Duru ya pili ya uchaguzi nchini Ufaransa , mgawanyiko wa mawazo.
Duru ya pili ya uchaguzi wa rais nchini Ufaransa inakaribia. Uchaguzi utafanyika hapo Mei 6. Lakini uchaguzi huo wa duru ya pili unapambanisha ncha mbili za mawazo , jinsi ya kupunguza idadi kubwa ya watu wasio na kazi , na kuwapa wapiga kura nafasi kubwa ya uhuru pamoja na usalama zaidi.
Mapambano ya kugombea urais Ufaransa yachacha biana ya Sarkozy na Royal.
Nicolas Sarkozy wa chama cha kihafidhina na msosialist Segolene Royal ndio watakaopambana katika duru ya pili ya uchaguzi wa urais nchini Ufaransa.
Uchaguzi wa Rais nchini Ufaransa kesho.
Kampeni yamalizika jana (ijumaa) usiku, huku wagombea wakitoa rai ya mwisho kwa wapiga kura.
Mashtaka ya Rwanda dhidi ya Ufaransa
Ufaransa yashitakiwa na Rwanda mbele ya mahakama ya kimataifa mjini The Hague
Kampeni ya uchaguzi wa Rais nchini Ufaransa yapamba moto.
Ni wiki ya mwisho kabla ya wapiga kura kuamua Jumapili ijayo.
Mkutano wa hali ya hewa mjini Paris
Ripoti ya IPCC yaonya dhidi ya madhara ya kuzidi hali ya ujoto ulimnwenguni
Mkutano wa viongozi wakuu wa Ufaransa na Afrika wamalizika .
Watahadharisha juu ya mwenendo wa biashara huru.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 20 wa 20
Ukurasa unaofuatia