You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Marine Le Pen
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Meli ya Costa Allegra yavutwa katika eneo salama
Meli ya kifahari ya Italia ilio na zaidi ya abiria 1000 inavutwa katika eneo salama na mashua ya kifaransa, baada ya moto kuzuka katika chumba cha nyaya katika meli hiyo na kuteketeza mitambo yake ya kuzalisha umeme.
Tisa wauwawa Afghanistan
Polisi nchini Afghanistan wamesema bomu lililotegwa ndani ya gari na kuegeshwa katika mlango wa chumba cha uwanja wa ndege mashariki mwa nchi hiyo limeripuka na kuuwa watu tisa.
310112 EU-Gipfel Abschluss
Baada ya mazungumzo ya muda mrefu katika mkutano wa kilele viongozi wa nchi na serikali za Umoja wa Ulaya mjini Brussels hatimaye wamefikia makubaliano juu ya mpango wa kuweko nidhamu katika bajeti za nchi hizo.
Mwandishi habari wa Ufaransa auawa Syria
Ufaransa inaitaka Syria kuanza kuchunguza mauaji ya ripota wa Kifaransa yaliyotokea katika mji wa Homs nchini Syria.
Ujerumani na Ufaransa zapendekeza mabadiliko ya mkataba wa EU
Kansela Angela Merkel wa Ujerumani na Na Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa jana wamekubaliana mabadiliko kadhaa yenye lengo la kuinusuru sarafu ya euro na utekelezaji wa nidhamu ya matumizi miongoni mwa wanachama wa EU.
Kansela Merkel kukutana na rais Sarkozy mjini Paris leo
Leo mchana, Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy anamkaribisha Kansela wa Ujerumani Angela Merkel mjini Paris ambako viongozi hao wawili, wanatazamiwa kuafikiana kuhusu mpango wa kuiokoa sarafu ya euro.
Ujerumani na Ufaransa zatoa onyo kali dhidi ya serikali ya Ugiriki
Kansela Angela Merkel wa Ujerumani na Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa wamefanya mkutano wa dharura katika mji wa Cannes nchini Ufaransa na kutoa onyo kali kwa Waziri Mkuu wa Ugiriki George Papandreou.
Mrengo wa shoto wadhibiti baraza la Seneti Ufaransa
Vyama vya mrengo wa shoto vimefanikiwa kulidhibiti baraza la Seneti kutoka vyama vya mrengo wa kulia nchini Ufaransa kwa mara ya kwanza katika historia katika uchaguzi uliofanyika jana.
Rais Kagame ziarani Ufaransa
Rais Paul Kagame wa Rwanda amezungumzia kuhusu kufungua ukurasa mpya katika uhusiano wa nchi yake na Ufaransa wakati wa mazungumzo na rais Nicolas Sarkozy mjini Paris.
Rais Sarkozy wa Ufaransa na Kansela Merkel wa Ujerumani washauriana leo
Kansela Angela Merkel wa Ujerumani na Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa leo watakutana mjini Paris
Ufaransa kuondoa majeshi yake Afghanistan; mdogo wake Karzai auwawa
Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy yuko katika ziara fupi nchini Afghanistan na amesema wanajeshi 1,000 wa nchi hiyo wataondolewa kutoka Afghanistan. Wakati huo huo mdogo wake rais Hamid Karzai ameuwawa
Ufaransa yasema mazungumzo ndio njia ya ufumbuzi nchini Libya
Ufaransa yadhihirika kubadilisha msimamo wake kuhusu mzozo wa Libya.Serikali ya mjini Paris inasema ufumbuzi wa mzozo huo utapatikana kwa njia ya mazungumzo.
Siasa za Ufaransa zatikiswa na kesi ya ubakaji dhidi ya Strauss-Kahn
Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Fedha, IMF, Dominique Strauss-Kahn, anatarajiwa kufikishwa mahakamani hii leo jijini New York kujibu mashtaka ya jaribio la kumbaka mhudumu wa hoteli jijini humo.
Ufaransa yasema majeshi ya mataifa hayana nia ya kumuuwa Gaddafi
Ufaransa imesema majeshi ya umoja wa mataifa yapo katika jitihada za kupunguza nguvu za kijeshi za Kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi kwa kushambulia vituo vyake vya kijeshi na wala si kumuuwa.
Rais Abbas ziarani Ufaransa
Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy hii leo amemkaribisha Rais wa Wapalestina Mahmoud Abbas mjini Paris, huku Ulaya ikizidi kueleza wazi wazi uwezekano wa kutambua taifa huru la Palestina.
Ufaransa na Italia zaungana na Uingereza kupeleka maafisa Libya
Ufaransa na Italia zimeungana na Uingereza kupeleka maafisa wa kijeshi ili kuvisaidia vikosi vya waasi wa Libya vilivyopo eneo la mashariki.
Ufaransa yaishutumu NATO 'kutokufanya ya kutosha' Libya
Huku vita vikiendelea na jitihada za kimataifa za kuumaliza mgogoro wa Libya zikisuasua, Ufaransa imeishutumu Jumuiya ya Kujihami ya NATO kwa 'kutofanya ya kutosha' kumdhibiti Gaddafi.
Kisiwa cha Mayotte chawa rasmi sehemu ya Ufaransa
Kisiwa cha Mayotte kimejiunga rasmi hii leo kuwa sehemu ya nchi ya Ufaransa. Hatua hii inafuatia baada ya wananchi wa kisiwa hicho kupiga kura ya maoni iliyoandaliwa na Ufaransa kuhusu kujitenga na Comoro.
Gaddafi Frankreich
Kiongozi wa mapinduzi nchini Libya muammar al-Gaddafi anakabiliwa na uwezekano wa kuangukia katika hatma kama iliyowakumba Ben Ali wa Tunisia na Hosni Mubarak wa Misr, kutokana na ukandamizaji
Ufaransa yazindua urais wake wa G20
Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy amezinduwa rasmi zamu ya nchi yake kama mwenyekiti wa kundi la mataifa 20 tajiri kiviwanda na yale yanayoinukia, G20, kwa kipindi cha mwaka mmoja.
Ufaransa na Uengereza zataka kushirikiana katika fani ya kijeshi
Madola mawili makuu ya kinuklea ya Ulaya ya magharibi-Ufaransa na Uengereza yanapanga kuanzisha ushirikiano wa aina pekee wa kijeshi kati yao licha ya kupunguza bajeti zao za ulinzi
Muswada tete kupigiwa kura leo nchini Ufaransa.
Vyama vya wafanyakazi vyaapa kuendelea na maandamano.
Migomo na maandamano yatokota Ufaransa
Vyama vya wafanyakazi vyaapa kuendeza mgomo.
Ufaransa yataka kuzungumza na al Qaeda kuwaokoa raia wake
Makamanda wa jeshi na wataalamu wa kupambana na ugaidi kutoka nchi za aneo la Sahel walikutana jana kusini mwa Algeria kujadiliana njia za kukabiliana na kitisho cha wanamgambo wenye mafungamano na al Qaeda
Ufaransa yataka mazungumzo na Al-Qaeda
Mazungumzo hayo ni katika jitihada za kuachiwa huru kwa raia wake watano waliotekwa nyara huko Niger.
Bunge la Ufaransa lapiga maarufuku vazi la "Burqa"
Ufaransa imekuwa nchi ya kwanza barani Ulaya kupiga marufuku vazi linalovaliwa na baadhi ya wanawake wa Kiislamu kufunika viwiliwili vyao, linaloujikana kama Burqa.
Ufaransa yakosolewa vikali na Umoja wa Ulaya
Imechukua muda mrefu lakini hatimae Halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya imeeleza msimamo wake kuhusu hatua zilizochukuliwa na Ufaransa kuwafukuza Waroma nchini humo.
Magipsi wafukuzwa Ufaransa
Magipsi wa Rumania na Bulgaria wafukuzwa Ufaransa
Waziri wa Ajira wa Ufaransa huenda akajiuzulu
Waziri wa Ajira wa Ufaransa, huenda akajiuzulu kwa sababu ya tuhuma kuwa alipokea michango ya fedha kinyume na sheria, wakati wa kampeni za uchaguzi wa rais katika mwaka 2007.
Mkutano kati ya Afrika na Ufaransa wamalizika leo Nice
Mkutano wa kilele kati ya viongozi wa mataifa ya Afrika na Ufaransa unamalizika hii leo huko Nice Ufaransa.
Mgomo licha ya kufanyiwa marekebisho baraza la mawaziri nchini Ufaransa
Vyama vya wafanyakazi nchini Ufaransa vimeitisha mgomo mkubwa hii leo kuishinikiza serikali ifikirie upya msimamo wake kuhusiana na sekta za kiuchumi na kijamii
Uchaguzi wa mikoa nchini Ufaransa
Chama cha rais Nicolas Sarkozy-UMP kimeondolewa patupu na mrego wa shoto katika duru ya pili ya uchaguzi wa mikoa
Mkutano wa nishati ya nuklia Paris
Rais Sarkozy ahimiza matumizi ya nishati ya nuklia.
Mjane wa rais wa zamani wa Rwanda Habyarimana akamatwa mjini Paris
Eti kweli maafisa wa Ufaransa watamrejesha Kigali bibi Agathe Habyarimana?
Ufaransa na Uhispania wataka ratiba kamili ya mazungumzo ya amani kati ya Israel na Palestina
Kauli hiyo imetolewa na mawaziri wa mambo ya nchi za nje wa nchi hizo.
Westerwelle ataka uhusiano wa Ujerumani na Ufaransa uimarishwe
Waziri mpya wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Guido Westerwelle yuko katika ziara ya kujitambulisha, katika mataifa mbalimbali, ambapo jana alikuwa Ufaransa na Uholanzi.
Kanzela Merkel ziarani Paris
Mada kuu na Rais Sarkozy ni mkutano wa leo wa Umoja wa Ulaya Brussels.
Uingereza na Ufaransa zakutana kabla ya mkutano wa G8
Waziri Mkuu wa Uingereza Gordon Brown akutana na Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa ikiwa ni siku mbili kabla ya mkutano wa G8
Kansela Merkel akutana na rais Sarkozy mjini Paris
Mazungumzo ya kusawazisha misimamo kabla ya mkutano wa baraza la ulaya wiki ijayo
Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy aadhimisha miaka miwili tangu ainge madarakani.
Ufaransa bado yakabiliwa na tatizo la ukosefu wa ajira.
Ufaransa yataka kujerea katika jumuiya ya NATO
Ufaransa yataka kuwa mwanachama kamili wa muungno huo wa kijeshi
Wanajeshi wa Kijerumani watapelekwa Ufaransa
Katika siku zijazo wanajeshi wa Ujerumani kutoka kikosi cha pamoja cha Ujerumani na Ufaransa watakuwa na kituo chao karibu na mji wa Strasbourg.
Merkel akutana na Sarkozy mjini Paris
Wajadili kuyumba kwa uchumi na hatima ya ubepari
Czech yachukuwa hatamu za uongozi wa Umoja wa Ulaya kutoka Ufaransa
Jamhuri ya Czech inachukuwa hatamu za urais wa kupokezana wa Umoja wa Ulaya kutoka Ufaransa Alhamisi ikikabiliwa na masuala mbali mbali makuu ikiwa ni pamoja na mzozo unaozidi kuwa mkubwa wa usambazaji wa gesi na Urusi.
Kiongozi wa kanisa katoliki ulimwenguni ziarani Ufaransa
Mjadala kuhusu kutenganishwa ya dini na yale ya dunia umepamba moto nchini Ufaransa
Rais Sarkozy wa Ufaransa ziarani Syria
Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa leo anawasili mjini Damascus Syria katika ziara iliotangazwa mno yenye lengo la kurudisha uhusiano wa ngazi ya juu kati ya nchi hizo na kuiondowa Syria zaidi katika kutengwa kimataifa.
Majeshi ya Ufaransa yatabakia Afghanistan
Vikosi vya Ufaransa lazima vibakie Afghanistan kupiga vita ugaidi.Hayo ametamka Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy siku moja baada ya wanajeshi 10 wa Ufaransa kuuawa Afghanistan katika mapambano na wanamgambo wa Taliban.
Ufaransa yakanusha kuhusika na mauaji ya Rwanda ya 1994
Baada ya wiki hii Kamisheni ya uchunguzi ya serikali ya Rwanda kutoa ripoti yake kuhusu mauaji ya kimbari ya mwaka 1994 na kuwahusisha viongozi kadhaa wa utawala wa zamani wa Ufaransa kuhusika na mauaji hayo.
Dhana za Rwanda dhidi ya Ufaransa
Serikali ya mjini Paris yahoji ripoti ya kamisheni ya uchunguzi ya Kigali ni ya mapendeleo
Ufaransa yachukua urais wa Umoja wa Ulaya
Katika miezi sita ijayo, Ufaransa itakuwa na kazi kubwa katika kuyashughulikia maswala ya kuyalinda mazingira, sera za kilimo, uhamiaji na ulinzi.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 19 wa 20
Ukurasa unaofuatia