You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Marine Le Pen
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Ubalozi wa Ufaransa mjini Tripoli washambuliwa
Shambulio la bomu lililotegwa ndani ya gari karibu na ubalozi wa Ufaransa mjini Tripoli nchini Libya limewajeruhi watu 2 na kuzusha hasara kubwa.Hilo ni shambulio la kwanza dhidi ya masilahi ya Ufaransa nchini humo.
Matajiri wenye akaunti za siri nje
Nyaraka za siri kuhusu matajiri wakubwa wenye akaunti za siri nje ikiwemo familia ya rais wa Azerbaijan na aliyewahi kuwa mweka hazina wakati wa kampeni za uchaguzi za Rais wa Ufaransa, Francois Hollande, zimefichuliwa.
Waasi wakabiliwa Mali
Vikosi vya Mali, vikisadiwa na jeshi la Ufaransa, vimefanikiwa kuwafurusha wanamgambo wa itikadi kali za kidini katika eneo la Timbuktu, baada ya kupambana nao hapo jana na kusababisha mauaji ya watu 7.
Francis wa Kwanza: Papa mnyenyekevu bali mhafidhina
Kadinali Jorge Mario Bergoglio wa Argentina aliyechukua jina la upapa la "Francis wa Kwanza" ndiye Papa mpya wa Kanisa Katoliki lenye waumini wapatao bilioni 1.2 duniani kote na wa kwanza kutokea Amerika ya Kusini.
Kerry kuuzungumzia mzozo wa Mali
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry mwishoni mwa juma hili anatarajiwa kuanza ziara yake barani Ulaya, Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, ambapo pamoja na mambo mengine atauzungumzia mzozo wa Mali.
Opereshini za kijeshi zaingia awamu ya mwisho Mali
Jeshi la Ufaransa na lile la Mali,limeanzisha hujuma katika milima ya Ifoghans kaskazini.Wanajeshi 2 wa Ufaransa wameuwawa.Raia wa Ufaransa wametakiwa waondoke kaskazini ya Camerun.
Umoja wa Ulaya wakubaliana juu ya Bajeti
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kupunguza bajeti ya umoja huo ya mwaka 2014-2020 hadi kufikia Euro bilioni 960 ikiwa ni mara ya kwanza kupunguzwa katika kipindi cha miongo sita.
Majeshi ya Ufaransa na Mali yapongezwa
Rais wa Ufaransa, Francois Hollande amesema kuwa majeshi ya nchi yake yatabakia nchini Mali kwa muda mrefu iwapo yatahitajika kuendelea kupambana na waasi wenye itikadi kali za Kiislamu kaskazini mwa nchi hiyo.
Upinzani Syria wafanikiwa Munich
Kiongozi wa upinzani wa Syria, Moaz al-Khatib, amekutana na maafisa wa Iran na Urusi kwenye mkutano wa usalama mjini Munich, Ujerumani, katika kile kinachoelezwa kama hatua ya kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Ufaransa yawashambulia waasi wa Mali
Ndege za kivita za Ufaransa zimeshambulia ngome mbili za waasi wenye itikadi kali za Kiislamu kaskazini mwa Mali.
Mkataba wa Elysée mfano wa kuigwa ulimwenguni
Ujerumani na Ufaransa zilizowahi kupigana vita mara kadhaa huko nyuma sasa zimegeuka kuwa mfano wa kuigwa duniani kwa sababu ya kuingia kwao kwenye makubaliano maarufu ya Elysée yanayotimia sasa miaka 50.
Wanajeshi wa Ufaransa waanza mapigano ya nchi kavu Mali
Ufaransa imedhamiria kuwavunja nguvu wanamgambo wa kiislam kaskazini ya Mali.Mapigano ya nchi kavu yanaripotiwa huku juhudi zikiendelezwa kuhusu namna ya kusaidia opereshini za Ufaransa nchini humo.
Ufaransa yapeleka wanajeshi zaidi Mali
Ufaransa imeendelea na mashambulio yake ya anga dhidi ya maeneo yanayoshikiliwa na waasi nchini Mali,wakati mipango ya kuweka jeshi la Afrika ikiwa mbioni, huku kukiwa na wasiwasi kuhusu ucheleweshaji wa jeshi hilo.
Majeshi ya Mali yawafurusha waasi kwa msaada wa Ufaransa
Majeshi ya Mali yamewafurusha waasi wa Kiislamu kutoka mji muhimu katika eneo la kati nchini humo,baada ya Ufaransa kuingilia kati jana Ijumaa(11.01.2013)kwa mashambulio ya anga na kuzuwia waasi hao kusonga mbele.
Ujerumani yamtaka Assad aache maneno matupu
Wasyria wanahofia kuongezeka kwa vita baada ya hotuba ya jana ya Rais Bashar al-Assad huku mapambano yakizuka katika miji mbalimbali nchini humo na Ujerumani ikimtaka kiongozi huyo kuachana na kauli zisizo na maana.
Jamhuri ya Afrika ya Kati yaomba msaada wa Ufaransa
Serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati imevitaka vikosi vya kulinda amani vya Ufaransa kusaidia kusimamisha juhudi za waasi kuendelea kusonga mbele katika harakati zao za kuingia katika mji mkuu Bangui.
Ufaransa kusema "ndio" kwa Wapalestina UN
Ufaransa imetangaza kuwa itaiunga mkono Mamlaka ya Wapalestina katika ombi lake la kutaka kuwa mjumbe mwangalizi asiyekuwa mwanachama kamili wa Umoja wa Mataifa siku chache kabla ya kufanyika zoezi la kura ya maamuzi.
Mauaji yaendelea Syria, wapiganaji wa kigeni wahusishwa
Mripuko wa bomu lililotegwa kwenye gari katika kizuizi cha usalama karibu na Damascus umesababisha vifo vya wanajeshi wawili huku mapigano yakipamba moto ndani ya mji mkuu huo na na kusini mwa Syria.
Ufaransa yautambua muungano wa upinzani wa Syria
Ufaransa imekuwa nchi ya kwanza ya Magharibi yenye nguvu, kuutambua rasmi muungano wa upinzani wa Syria, kama mwakilishi pekee wa wananchi wa Syria.
Umoja wa Ulaya wazidisha vikwazo dhidi ya Syria
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya wametangaza vikwazo vipya dhidi ya utawala wa Rais Bashar al-Assad wa Syria, kuzitaifisha mali zake na kuwawekea vikwazo vya kusafiri Wasyria 28.
Assad awaambia waasi kamwe hawatamshinda
Mapigano makali yameripotiwa alfajiri ya leo katika miji kadhaa ya Syria, huku Rais Bashar al-Assad akiapa kwamba kamwe waasi hawatashinda na mataifa ya Magharibi yakiilaumu Iran kuusaidia utawala wa Assad kwa silaha.
Ufaransa kuchunguza kifo cha Arafat
Waendesha mashitaka nchini Ufaransa wamefungua uchunguzi wa tuhuma za mauwaji ya aliyekuwa Rais wa Palestina Yasser Arafat mwaka 2004.
Vita vya Aleppo vyapamba moto
Mapambano ya kuukamata mji wa Allepo baina ya vikosi vya serikali na waasi yanazidi kupamba moto huko Syria. Waasi sasa wamekiteka kituo muhimu cha ukaguzi kwenye mpaka baina ya nchi hiyo na Uturuki.
Miaka 50 ya uhusiano mpya kati ya Ufaransa na Ujerumani
Kansela Angela Merkel na Rais Francois Hollande, siku ya Jumapili walikutana katika mji wa Rheims nchini Ufaransa, kukumbuka kuanzishwa upya kwa uhusiano baina ya mataifa hayo, baada ya vita vikuu vya pili vya dunia.
Marafiki wa Syria wakutana Paris
Rais Francois Hollande wa Ufaransa ametaka vikwazo vikali zaidi viwekwe dhidi Rais Bashar al-Assad wa Syria na waasi wa nchi hiyo wapewe ushirikiano zaidi katika kumwondoa Assad madarakani.
Viongozi wa Ulaya wakubaliana mpango wa madeni
Viongozi wa mataifa 17 wanachama wa sarafu ya euro wamefikia makubaliano ya kuelekeza hatua za haraka na za dharura kwenye mataifa ya Uhispania na Italia ambayo yako kwenye hali ngumu kwa sasa kutokana na madeni.
Wasoshalisti washinda tena Ufaransa
Chama cha Kisoshalisti nchini Ufaransa kimepata ushindi wa nguvu katika uchaguzi wa wabunge uliyofanyika siku ya Jumapili, na hivyo kusaidia harakati zake za kufanya mageuzi nchini Ufaransa na Ulaya, kwa ujumla.
Duru ya kwanza ya uchaguzi wa bunge la Ufaransa
Rais Francois Hollande wa Ufaransa amepata nguvu kufuatia duru ya kwanza ya uchaguzi wa bunge ambapo wasoshialisti na washirika wao wa mrengo wa shoto wanaongoza
Hollande afanya ziara ya kwanza Ujerumani
Rais mpya wa Ufaransa, Francois Hollande amefanya ziara yake ya kwanza hapa Ujerumani ambapo alikutana na Kansela Angela Merkel. Masharti ya mkataba wa kubana matumizi ni moja ya mada zilizozungumziwa na viongozi hao.
Hollande aapishwa rais mpya wa Ufaransa
Msoshialisti Francois Hollande ameapishwa rasmi kama rais wa saba wa Jamhuri ya Tano ya Ufaransa baada ya sherehe za kukabidhiwa hatamu za uongozi na mtangulizi wake, Nicolas Sarkozy.
Mitihani kwa Hollande wa Ufaransa
Ufaransa imeamua, lakini katika ngazi ya Ulaya si mengi yatabadilika. Msoshalisti Francois Holland ametangaza kwamba anataka kufanya tena mashauriano juu ya mkataba wa Ulaya wa kuunusru uchumi.
Hollande ni Rais Mpya wa Ufaransa
Wapiga kura nchini Ufaransa wamemchagua Francois Hollande kuwa rais mpya wa nchi hiyo. Ushindi wake dhidi ya Nicolas Sarkozy ni pigo kubwa kwa sera za kubana matumizi kama suluhisho la mgogoro wa fedha barani Ulaya.
Wafaransa wapiga kura
Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy anaelekea kushindwa katika duru ya pili ya Uchaguzi wa Urais unaofanyika leo nchini Ufaransa.
Sarkozy bado mashakani
Siku mbili kabla ya duru ya pili ya uchaguzi wa raisi Ufaransa, kura za maoni zimempandisha kidogo Nicolas Sarkozy ingawa matumaiani yake yanafifia baada ya viongozi wa mirengo ya kulia na kati kukataa kumuunga mkono.
Hollande ashinda duru ya kwanza ya uchaguzi Ufaransa
Francois Hollande kutoka chama cha Kisoshalisti nchini Ufaransa ambaye anataka kuwahudumia vizuri zaidi watu masikini na wale wasiokuwa na ajira anaiingia duru ya pili ya uchaguzi wa rais dhidi ya Rais Nicolas Sarkozy.
Mtazamo wa Hollande kuhusu Ulaya watia mashaka
Kansela Angela Merkel wa Ujerumani angelipendelea rafiki yake, Nicolas Sarkozy kushinda uchaguzi wa Ufaransa, lakini kura za maoni zinamuonesha François Hollande kuwa ndiye mwenye nafasi nzuri zaidi.
Wahamiaji wanapogeuka mpira nchini Ufaransa
Wakati kampeni za duru ya kwanza ya uchaguzi nchini Ufaransa jumapili ijayo zikifikia hatua ya lala salama, wachambuzi wanasema wagombea wa kiti cha urais wanaendelea kutumia neno mhamiaji kama mpira.
Umoja wa Mataifa wataka kutuma waangalizi zaidi Syria
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, ametaka waangalizi zaidi wapelekwe Syria kusimamia utekelezaji wa mpango wa amani uliopendekezwa na Kofi Annan.
Sarkozy apewa nafasi ndogo zaidi ya kushinda uchaguzi
Maoni ya wapiga kura yanaonyesha kwamba Rais Nicolas Sarkozy wa nchi hiyo atapata kura chache kuliko mpinzani wake Francois Hollande katika duru ya kwanza ya uchaguzi.
Mazungumzo ya nyuklia ya Iran yaanza
Mazungumzo juu ya mpango tata wa nyuklia wa Iran yameanza leo (14.03.2012) baada ya kusimama kwa miezi 15 huku kukiwa na taarifa za kuwepo kwa matumaini hafifu ya kufikia muafaka baina ya pande mbili zinazojadiliana.
Uingereza na Ufaransa zailaumu Syria
Uingereza na Ufaransa zinaishutumu Syria kwa sababu haiufuati mpango wa amani ulioafikiwa. Leo, mapigano makali yaliyouwa watu kadhaa yameripotiwa nchini humo.
Polisi wa Ufaransa wakamata watu 19 katika msako
Polisi wa Ufaransa leo wamefanya msako wa kuyatafuta makundi ya waislamu wenye itikadi kali na kuwakamata washukiwa 19. Rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa ameapa kwamba msako utaendelea.
Masuali yaulizwa kuhusu mshukiwa wa mauaji Ufaransa
Maafisa nchini Ufaransa wanakabiliwa na maswali jinsi mshukiwa mwenye itikadi kali za kiislamu ambaye alikuwa amejulikana, alivyoweza kuwauwa watu saba, katika mashambulizi matatu tofauti kabla ya kuuliwa na polisi.
Ufaransa yachunguza mauaji
Rais wa Ufaransa Nicolas Sarkozy amesema uchunguzi umeanzishwa kubaini iwapo Mohammed Merah, mshukiwa wa mfululizo wa mauaji, yanayodaiwa kuchochewa na itikadi kali ya dini ya kiislamu, alikuwa na washirika wowote.
Bado mshukiwa wa mauaji Ufaransa asubiriwa kujisalimisha
Mtu aliyejitambulisha kama muasi aliyejifungia katika nyumba moja mjini Toulouse nchini Ufaransa baada ya misururu ya mashambulizi ya risasi sasa ameanza tena kuwasiliana na polisi
Mshukiwa wa mauaji ya Ufaransa 'kujisalimisha'
Polisi watatu wamejeruhiwa katika utupianaji risasi kati yao na mtu anayeshukiwa kuhusika na mauaji ya watu wanne katika skuli ya Kiyahudi hapo Jumatatu na wanajeshi watatu kusini magharibi mwa nchi hiyo wiki iliyopita.
Ufaransa yalaani mauwaji ya Toulouse na Montauban
Msako dhidi ya muuwaji wa watu 4 katika shule 1 ya wayahudi mjini Toulouse .Hatua za usalama zimeimarishwa katika shule zote za kiyahudi,masinagogi na misikiti nchini Ufaransa.
Abdullah al-Senussi akamatwa
Serikali nchini Mauritania imesema imemkamata mkuu wa zamani wa idara ya upelelezi wa aliyekuwa kiongozi wa Libya hayati Muammar Gaddafi.
Wageni na Dini kujumuishwa katika kampeni ya uchaguzi Ufaransa
Kampeni ya uchaguzi wa rais imepamba moto nchini Ufaransa.Mijadala kuhusu wageni,na hata dini inaonyesha kugubika kampeni ya chama cha kihafidhina cha rais anaemaliza wadhifa wake,Nicolas Sarkozy.
Sheria inayobishwa imebatilishwa Ufaransa
Baraza la katiba nchini Ufaransa limebatilisha sheria inayomuadhibu yeyote anaekanusha mauwaji ya halaiki ya waarmenia ya mwaka 1915.Rais Sarkozy ametoa mwito wa kutungwa mswaada mwengine wa sheria.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 18 wa 20
Ukurasa unaofuatia