Wiki hii kwenye Maoni Meza ya Duara watalaamu wanaujadili uamuzi wa Rwanda wa kujiondoa kutoka kwenye Jumuiya ya Kiuchumi ya nchi za Afrika ya Kati, ECCAS, baada ya viongozi wa nchi za jumuiya hiyo kuamua kuurefusha urais wa zamu wa Guinea ya Ikweta na kuinyima Rwanda kuchukua nafasi ya uenyekiti wa zamu. Mwenyekiti ni Zainab Aziz