Watu wa Japan na wa dunia nzima kwa jumla wanayakumbuka maafa makubwa yaliyotukia kwenye miji ya Japan ya Hiroshima na Nagasaki miaka 80 iliyopita. Marekani iliishambulia miji hiyo kwa mabomu ya nyuklia. Wachambuzi wanajadili matumizi hasi na chanya ya tekinolojia ya nyuklia. Mwenyekiti Zainab Aziz