Baada ya siku 100 madarakani, Rais Trump amesema miezi yake ya kwanza madarakani imekuwa na mafanikio makubwa lakini tathmini yake inatofautiana sana na mitazamo ya wataalamu na wachambuzi wengi ambao wameshangazwa na yale ambayo ameyafanya hadi sasa. Kwenye Maoni Meza ya Duara watachambuzi wanayajadili hayo. Mwenyekiti ni Zainab Aziz