Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Félix Tshisekedi amewatolea wito vijana wajitokeze kwa wingi wajisajili jeshini kusaidia kupambana na waasi wa kundi la M23 wanaoudhibiti mji wa Goma. Kuna nini Congo? Je, vita kamili vimeanza? Congo yaelekea wapi? Sikiliza kipindi cha Maoni kikiongozwa na Josephat Charo.