You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Picha: Zoonar/picture alliance
Makala zetu
Sikiliza makala kemkem tulizokuandalia
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Njia za kukabiliana na hofu ya kujifungua kwa mara ya kwanza
Njia za kukabiliana na hofu ya kujifungua kwa mara ya kwanza
Kwa wanaojifungua kwa mara ya kwanza wakati mwengine wanakuwa na hofu kubwa ya kupitia mchakato mzima wa kujifungua. Wengi wanakuwa na uwoga baaada ya kuwasikia wanawake wengine wakizungumzia mchakato huo wa uzazi. Makala ya Afya Yako inakueleza njia za kukabiliana na hofu hiyo.
Ngoma za Njuga na jinsi zinavyorithishwa kupitia sanaa
Ngoma za Njuga na jinsi zinavyorithishwa kupitia sanaa
Ngoma za Njuga ni aina ya ngoma za asili zinazochezwa kwa kuvaa njuga miguuni au mikononi, zikitamba kwa sauti ya kipekee inayochochea furaha, heshima na mdundo wa kuvutia. Alex mchovu anakupa umuhimu wa ngoma hizo na jinsi ya kuendeleza na kurithisha mila na tamaduni kupitia vipengele vya sanaa.
Makala ya Afrika Wiki Hii
Makala ya Afrika Wiki Hii
Joto la kisiasa Tanzania linaendelea kupanda kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29. Rais anaetetea kiti chake, Samia Suluhu Hassan, haonekani kuwa na mtihani mkubwa sana kwa kuwa vyama vikuu viwili vya upinzani hadi sasa havina wagombea. Katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo Jeshi bado linapambana na makundi ya wanamgambo na Morocco ndio mabingwa wa mashindano ya Kombe la CHAN-2024
Mkwamo wa soka la Wanawake visiwani Zanzibar
Mkwamo wa soka la Wanawake visiwani Zanzibar
Soka la wanawake Zanzibar linakumbwa na changamoto kadhaa zinazozuia ukuaji wake licha ya vipaji vilivyopo visiwani humo. Hali ya uwekezaji duni imeathiri pakubwa ustawi wa wachezaji, uwepo wa viwanja vichache na ukosefu wa udhamini wa kutosha kwa timu za wanawake. Najjat Omar anaangazia hali ya soka la wanawake Zanzibar.
Mwelekeo wa magari ya umeme EVs nchini Kenya
Mwelekeo wa magari ya umeme EVs nchini Kenya
Magari ya umeme nchini Kenya yanaanza kuchukua nafasi kubwa katika sekta ya usafiri huku juhudi za serikali na kampuni binafsi zikichochea mabadiliko kuelekea nishati jadidifu. Hata hivyo kuna wasiwasi miongoni mwa madereva kuhusu upatikanaji wa miundombinu ya kuchaji, hasa nje ya miji mikuu. Makala ya Sema Uvume yanaangazia hamasa ya kuendana na mabadiliko ya kidijitali nchini Kenya.
Zanzibar - Kisiwa maarufu cha viungo duniani
Zanzibar - Kisiwa maarufu cha viungo duniani
Zanzibar inasifika kwa uwepo wa mashamba ya viungo ambapo wageni hujifunza kuhusu karafuu, mdalasini, vanila na viungo vyingine vinavyokifanya kisiwa hicho kuwa kitovu cha biashara ya viungo kimataifa. Viungo hivyo hutumika katika tiba, mapishi na ni mojawapo ya utamaduni wa jadi visiwani Zanzibar. Makala ya Utamaduni na Sanaa inamulika jumba la makumbusho la viungo visiwani humo.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Yenye kuangaziwa
Yenye kuangaziwa
Athari za mafuriko nchini Tanzania
Makala Yetu leo inaangalia athari zilizotokana na mvua kubwa zilizonyesha na kusababisha mafuriko makubwa Tanzania.
Miaka 13 tangu kutokea ajali ya Fukushima
Ajali ya Fukushima inazingatiwa kuwa janga la pili la nyuklia katika historia ikilinganishwa na janga la Chernobyl.
Maudhui yote (295) kwenye mada hii