Mzozo wa Mashariki mwa Kongo unaendelea kufukuta. Mkutano wa viongozi wa Afrika wafanyika Addis Ababa Ethiopia, ajenda kuu ni mzozo wa DRC, lakini nafasi ya kufanikiwa juhudi za kidiplomasia za kuutatua mzozo huo ni ndogo, je ni kwanini? Kwa haya na mengine mengi sikiliza Afrika wiki hii na Amina Abubakar.