Mzozo wa Mashariki mwa Kongo unaendelea kufukuta na viongozi wa M23 walijitokeza hadharani kuzungumza na wakazi wa Goma. Mataifa ya Afrika yajiandaa kukabiliana na uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kusitisha misaada kwenye mashirika ya kigeni. Tutaumulika mzozo wa Sudan, mripuko wa ugonjwa hatari wa Ebola nchini Uganda na mengine mengi.