Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mapigano yanaendelea kuripotiwa kati ya jeshi la FARDC na waasi wa M23. Umoja wa Afrika ulieleza kusikitishwa na uamuzi wa Rais Donald Trump wa kuiondoa Marekani kwenye Shirika la Afya Duniani WHO. Na siasa za huko Tanzania zilipamba moto. Ungana na Bakari Ubena Bakari Ubena.