You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Mahamadou Issoufou
Mahamadou Issoufou anatokea kabila la Hausa na alizaliwa mwaka 1951.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Viongozi wa Sahel na Ufaransa waapa kuongeza nguvu za jeshi
Ufaransa kuongeza wanajeshi wake 220 eneo la Sahel
Kundi la wanamgambo la kiislamu lawauwa wanajeshi 31 Niger.
Wanamgambo wa kiislamu wameshambulia kambi moja ya kijeshi katika eneo la Magharibi mwa Niger na kuwauwa wanajeshi 31.
Nigeria yafunga mpaka na mataifa jirani
Nigeria imeufunga ghafla mpaka wake wa ardhini na nchi jirani za Benin, Cameroon na Niger, na kupiga marufuku biashara zote za kuvuka mipaka hiyo. Swali linaloulizwa sasa ni ikiwa hatua hiyo itaweza kumaliza biashara ya magendo na ghasia hususan katika eneo la Kaskazini mwa Nigeria.
Merkel atembelea kituo cha ujumbe wa Umoja wa Ulaya Niger
Merkel atembelea kituo cha ujumbe wa Umoja wa Ulaya nchini Niger
Niger: Wanamgambo 280 wa Boko Haram Wauawa
wizara ya Ulinzi nchini Niger imesema zaidi ya wanamgambo 280 wameuawa karibu na mpaka wa Nigeria.
Algeria yawatelekeza wahamiaji kwenye jangwa la Sahara
Watu hao hulazimishwa kutembea kwenye jangwa hilo kwenye jua na joto kali wakati mwingine chini ya mtutu wa bunduki.
DW: Ukatili dhidi ya wanawake ukomeshwe
Wakati dunia ikiadhimisha siku ya kimataifa ya wanawake, wanawake kutoka idhaa mbalimbali za DW wameungana kupaza sauti ya kutaka kukomeshwa kwa ukatili dhidi ya wanawake na watoto wa kike. #Imetosha.
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Vilevile juu ya kitendawwili cha utajiri wa madini ya Kobalti nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Nigeria: Kundi la Niger Delta kushambulia sekta ya mafuta
Mashambulizi kulenga operesheni za mataifa kadhaa
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Magazeti pia yamezungumzia juu ya uhalifu wa biasha ya watu ambayo imeongezeka huko barani Afrika.
Wabunge Marekani wahoji usiri wa uwepo wa jeshi lao Afrika
Wabunge wanasema Pentagon inaficha jambo kuhusu uwepo wa kijeshi barani Afrika.
Kenya: Uchaguzi bila wapigakura
Uchaguzi bila wapigakura, ndivyo linavyosema gazeti la Nues Deutschland kuhusu uchaguzi wa Kenya.
Wabunge wa Marekani wataka majibu vifo vya wanajeshi Niger
Wanajeshi wa Marekani waliuawa Niger
Watu 50 wafa kwa mafuriko Niger
Umoja wa Mataifa umesema mifugo ipatayo 16,000 ikiwa imekufa na hekta 9,000 za mazao kuharibiwa.
Mpango wa kudhibiti uhamiaji wa watu kuelekea Ulaya
Angela Merkel asema dhamira ni kukabiliana na wahamiaji haramu
Ongezeko la vimbunga kanda ya Sahara
Hayo ni kwa mujibu wa utafiti juu ya mabadiliko ya tabia nchi
Taarifa ya habari za asubuhi 14.03.2017
Miongoni mwa taarifa: Baraza la Uingereza House of Lords laidhinisha mswada unaompa mamlaka Waziri Mkuu kuazisha mchakato wa Brexit.Uturuki yasitisha kwa muda mahusiano ya kidiplomasi na Uholanzi. Kiongozi wa upinzani Niger, Hama Amadou ahukumiwa mwaka mmoja jela.
Wapiganaji 31 wa Boko Haram wajisalimisha Niger
Hatua hiyo inadhihirisha kudhoofika kundi hilo la wanamgambo wa itikadi kali wanaoitikisa Nigeria na nchi jirani
Matangazo ya Mchana 15.10.2016
Tuliyo nayo : Mazungumzo mapya ya kidiplomasia ya kumaliza mgogoro wa Syria yanaanza tena nchini Uswisi Jumamosi ya leo baina ya Marekani na Urusi.Zaidi ya mataifa 150 yanayokutana nchini Rwanda yamekubali mpango wa kimataifa wa kupunguza gesi chafu inayochafuwa mazingira na Mshukiwa aliyepanga kufanya shambulio la bomu katika uwanja wa ndege wa Berlin alionyesha dalili za itikadi kali
Maoni: Je, Merkel atafanikiwa Afrika?
Kansela Merkel alizitembelea Niger, Mali na Ethiopia akitafuta uungwaji mkono kuzuwia wimbi la wakimbizi.
11.10.2016 Matangazo ya asubuhi
Raia wa Syria akamatwa kwa tuhuma za uagaidi Ujerumani//Urusi na Uturuki zasaini makubaliano ya ushirikiano kibiashara// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel aendelea na ziara barani Afrika.
Merkel kuzuru mataifa matatu ya Afrika
Kansela Angela Merkel anatarajiwa kufanya ziara ya siku tatu nchini Mali, Niger na Ethiopia kuanzia Jumapili.
Waasi wauwa wanajeshi 22 wa Niger
Mashambulizi kwenye kambi ya wakimbizi ya Tazalit mkoani Tahoua yalifanyika mchana wa Alhamis.
Maisha katika eneo lililochafuliwa na mafuta
Nigeria ina hazina kubwa ya mafuta katika bara la Afrika ambayo husafirishwa duniani kote. Hata hivyo nchi hiyo haijaweza kuwaletea wakaazi wake hali bora ya maisha.
Rais Buhari kuzuru Niger Delta
Rais wa Nigeria Muhammadu Buhari kuzinduwa mpango wa kusafisha Niger Delta
Hollande: Boko Haram bado ni kitisho kikubwa
Rais wa Ufaransa Francois Hollande amesema kundi la Boko Haram linasalia kitisho cha usalama
Juhudi za kumaliza utumwa Niger
Hakuna utumwa rasmi wa watoto nchini Niger, lakini kuna idadi kubwa isiyo rasmi ya waathiriwa. Mohammed Mogaze, na shirika lake la TIMIDRA, anataka kumaliza utumwa kwa kuwafundisha watu.
Afrika yakabiliwa na madeni ya kimataifa
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo iliongoza orodha hiyo kwa asilimia 25, Niger kwa asilimia 23 na Malawi kwa asilimia 19
Maoni: Demokrasia dhaifu Afrika
Vyombo vya habari vya ulimwengu vyaangazia kwengine
Matokeo ya chaguzi katika nchi 5 za Afrika yaanza kutolewa
Upinzani umeshinda Cape Verde na Benin huku Rais wa Congo na Niger wakitarajiwa kusalia madarakani
Wikiendi ya chaguzi Afrika
Wikiendi ya chaguzi Afrika
Jeshi la Nigeria lauwa wapiganaji 26 wa Boko Haram
Boko Harama wauawa baada ya kuvamia kambi ya wakimbizi wa ndani
Boko Haram washambulia tena Nigeria
Wanawake wawili wajitoa muhanga na kuwaua watu 58
Niger: kituo cha redio chapigania haki za jamii
Chatou Mahamadou huapa watu waishio mjini Niamey na maeneo ya karibu fursa ya kuzungumza. Mwanaharakati huyo wa haki za binadamu kutoka Niger anafanya kazi katika 'Jukwaa la Umma'', asasi ya kiraia inayoendesha kituo cha redio. Mahamadou hutumia fursa kuzungumzia mambo anayotaka yabadilike, na kuishinikiza serikali.
Maisha katika eneo lililochafuliwa kwa mafuta
Nigeria ina hazina kubwa ya mafuta katika bara la Afrika ambayo husafirishwa duniani kote. Hata hivyo nchi hiyo haijaweza kuwaletea wakaazi wake hali bora ya maisha.
Maelfu wakimbia Niger wakiihofia Boko Haram
Malefu wakimbia Niger wakiihofia Boko Haram
Rais wa Nigeria asema Boko Haram itasambaratishwa
Rais wa Nigeria asema Boko Haram itasambaratishwa
Boko Haram waendeleza mashambulizi kaskazini mwa Nigeria
Boko Haram waendeleza mashambulizi kaskazini mwa Nigeria
Wanajeshi 15 wauwa na Boko Haram
Wanajeshi 15 wauwa na Boko Haram
Jeshi la Niger kwenda Nigeria
Jeshi la Niger kwenda Nigeria
Niger yachagua vita dhidi ya Boko Haram
Bunge la Niger limeamua kujiunga na mapambano dhidi ya Boko Haram
Mkutano wa Yaunde
Mataifa jirani na Nigeria yahimizwa yawajibike haraka
Shell kuwafidia Wanigeria dola milioni 84
Kampuni ya Shell italipa fidia ya dola milioni 84 kufuatia kuvuja kwa mabomba ya mafuta nchini Nigeria, hatua inayoweza kufungua njia ya kufidiwa hasara zinazosababishwa na kampuni za mafuta duniani.
Viongozi wa kikanda waimarisha vita dhidi ya Boko Haram
Viongozi wa Niger, Nigeria, Chad na Benin wametangaza mipango ya kuimarisha vita dhidi ya wanamgambo wa kundi la itikadi kali za kiislamu – Boko Haram kwa kuunda kikosi maalum cha jeshi pamoja
Jeshi la kanda kupambana na Boko Haram
Mataifa manne ya Afrika Magharibi yameazimia kuunda kikosi cha pamoja ili kukabiliana na kitisho kinachoongezeka cha kundi la itakadi kali za Kiislamu la Boko Haram, linaloendesha shughuli zake hasa nchini Nigeria.
Afrika katika magazeti ya Ujerumani
Wiki hii magazeti ya Ujerumani yanauzingatia ushindi wa Jenerali Abdel Fattah al-Sisi katika uchaguzi wa nchini Misri. Pia yameandika juu ya Boko Haram na biashara ya Uran baina ya Ufaransa na Niger
Dunia yapiga hatua kubwa kupambana na vifo vya watoto
Dunia imepiga hatua kubwa isio na kifani katika kupunguza idadi ya vifo vya watoto katika kipindi cha muongo mmoja uliopita huku Niger ikitajwa kuwa inaongoza kundi lililopiga hatua kubwa zaidi duniani tokea mwaka 1990.
Afrika katika magazeti ya Ujerumani.
Magazeti ya Ujerumani wiki hii yameandika juu ya uchaguzi wa Zimbabwe na juu ya wakimbizi kutoka Afrika waliokwama katika mji wa Hamburg nchini Ujerumani.
Mahamadu Abdul Kader, Niger
Bwana huyu mwenye umri wa miaka 45 anaishi Tahoua nchini Niger. Ni mwanaharakati wa chama cha Muryar Talaka, yaani Sauti ya Mtu wa Kawaida na anaukosoa Umoja wa Afrika.
Wanajeshi 1,000 wa Afrika wawasili Mali
Huku vikosi vya Ufaransa vikizidi kusonga mbele katika juhudi za kuwaondoa waasi kaskazini mwa Mali, wanajeshi wengine 1,000 wa Kiafrika wamewasili nchini humo kusaidia kuwaondoa kabisa waasi kaskazini mwa nchi hiyo.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 9 wa 11
Ukurasa unaofuatia