You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Bundesliga
Sauti zetu
Vidio zetu
Matangazo
Mahamadou Issoufou
Mahamadou Issoufou anatokea kabila la Hausa na alizaliwa mwaka 1951.
Ruka sehemu inayofuata Maudhui yote kwenye mada hii
Maudhui yote kwenye mada hii
Mapinduzi Mali yaitisha Niger
Maafisa wa Niger taifa jirani na Mali ambalo limekumbwa na mapinduzi na kuligawa mara mbili, wameonya kuwa hali ya mapinduzi katika ukanda huo unaweza kuenea kwenye mataifa mengine kama tahadhari haitochukuliwa.
01.02.2012
Deutschewelle:Moroko na Niger zimeyaaga mashindano ya kombe la mataifa ya Afrika licha ya ushindi wa bao moja kwa bila.
Morocco yaaga mashindano kwa pambano dhidi ya Niger
Fainali zinazoendelea za kombe la mataifa ya Afrika huko Guinea ya Ikweta na Gabon , Senegal iliyopigiwa upatu kuwa ni moja ya timu zinazotarajiwa kutoroka na kombe hilo yaambulia patupu.
24.01.2012
Deutsche Welle: Morocco yawa timu ya pili maarufu kufungwa kwenye mechi za Kombe la Mataifa ya Afrika, baada ya kufungwa na Tunisia 2-1, huku Gabon ikiitwanga Niger 2-0
30.12.2011
Deutsche Welle: Niger yaomba msaada wa euro milioni tatu kuweza kuiandaa timu yake ya taifa kushiriki kwa mara ya kwanza katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika.
SERIKALI YA NIGER ITAMTIA NDANI MTOTO WA GADDAFI, SAADI
Niger imesema itamkamata mtoto wa Gaddafi
SERIKALI YA NIGER ITAMTIA NDANI MTOTO WA GADDAFI, SAADI
Niger imesema itamkamata mtoto wa Gaddafi
SERIKALI YA NIGER ITAMTIA NDANI MTOTO WA GADDAFI, SAADI
Niger imesema itamkamata mtoto wa Gaddafi
Msafara wa magari ya kijeshi ya Libya wawasili Niger
Inakisiwa huenda kanali Gaddafi yumo njiani kwenda Burkina Fasso, ambayo ilikuwa imesema ingemkubali kiongozi huyo kwenda uhamishoni nchini humo.
Niger yaenda kwenye uchaguzi
Watu wa Niger watapiga kura kesho (31 Januari 2011) kuchagua wabunge na rais wakati ambapo wagombea wanautaka utawala wa kijeshi wa nchi hiyo uibadili tume ya uchaguzi. Je, uchaguzi huo utarejesha demokrasia nchini humo?
Niger yamchagua Rais wa mpito.
Utawala wa Kijeshi nchini Niger ambao ulifanya mapinduzi ya kijeshi nchini humo wiki iliyopita, sasa umemchagua Kiongozi wao Meja Salou Djibo,kuwa Rais wa mpito
Junta waahidi kuandaa uchaguzi Niger.
Utawala mpya wa Kijeshi nchini Niger umeahidi kuandaa uchaguzi na katiba mpya pamoja na kurejesha demokrasia nchini humo, lakini hata hivyo haukutaja tarehe ya kufanyika kwa uchaguzi huo.
Wananchi waupokea utawala wa kijeshi, Niger
Siku mbili baada ya mapinduzi ya kijeshi nchini Niger utawala huo wa kijeshi umeahidi kuandaa uchaguzi.
Mapinduzi ya Kijeshi Niger.
Utawala mpya wa Kijeshi wa Niger, umeimarisha ulinzi, kwa kutumia vifaru na magari ya kijeshi, katika makaazi ya Rais aliyepinduliwa madarakani, Mamadou Tandja, siku moja tu, baada ya jeshi la nchi hiyo kufanya mapinduzi
Jeshi lafanya mapinduzi Niger
Baada ya mapinduzi hayo, utawala wa kijeshi ukaivunja serikali
Njama ya mapinduzi nchini Niger
KUndi la watu wasiojulikana wamefyetua risasi na kuripua mizinga mjini Niamey
Uchaguzi wa bunge nchini Niger
Wapiga kura wanaitika mwito wa upande wa upinzani na kuususia uchaguzi wa bunge
Watuareg wa Mali na Niger waweka chini silaha
Mapatano ya amani ya Watuareg huko Mali na Niger
Waasi wa shambulia Niger Delta
Waasi katika eneo la Ogoni huko Nigeria wadai wameshambulia zana za kampuni la mafuta la Shell.
Watu 17 wauwawa kwenye mapigano ya wanajeshi na waasi Niger
-
Serikali ya Niger kizimbani kwa kuendeleza Utumwa
Katika hatua ya Kihistoria, Mtumwa wa zamani ameishitaki Serikali ya Niger kuwa imeshindwa kutekeleza sheria zinazopinga utumwa.
Niger mwaka 2006 ilitumia tani nne za kuni
Huko nako ni kuhatarisha kubadilka kwa hali ya hewa-kwani jangwa lanyemelea
DAKAR: Niger iache kushinikiza vyombo vya habari
Waasi wa Tuaregs wafanya uvamizi Niger
Nchi ya Niger iliyo miongoni mwa mataifa yanaoongoza duniani katika , uzalishaji wa madini aiana ya uranium inakabiliwa na uasi kutoka kwa watu wa kabila la Tuaregs wenye tabia ya kuhama hama katika jagwa la sahara, japokuwa serikali imekataa katakata kukiri swala hilo.
Baraza la Mawaziri Niger lajiuzulu.
Serekali ya Rais Mamadou Tandja wa Niger imevunjwa kutokana na kukosa imani ya wabunge wa nchi hio.
NIAMEY:Serikali ya Niger yavunjwa
Lagos:Mhandisi wa mafuta wa Kimarekani aachiwa huru katika eneo la Niger Delta, Nigeria
PORT HARCOURT : Hali ya wasi wasi katika jimbo la Niger Delta
DAKAR:Kitisho cha njaa chaendelea Niger
DAKAR : Watoto waendelea kufa njaa Niger
NIAMEY: Annan atembelea eneo la njaa nchini Niger
NIAMEY:Kofi Annan akutana na Rais wa Niger kujadili njaa nchini humo.
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan ziarani nchini Niger
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Kofi Annan,yuko ziarani nchini Niger ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake inayolenga kutathimini hali ya mgogoro wa chakula nchini Niger.
LONDON;Fedha zachangishwa kwa ajili ya Niger
KALFOU, NIGER.Msaada wa chakula waanza kuingia Niger
KALFOU,Niger: Jumuiya ya kimataifa yalaumiwa kwa maafa ya njaa
Ufaransa kuisaidia Niger
NIGER: watoto wakabiliwa na njaa
LONDON: Misaada zaidi yapelekwa nchini Niger
Umoja wa Ulaya kuongeza misaada yake kwa Niger
Tangu picha za janga la njaa nchini Niger kupelekwa kwenye televisheni za dunia kote, mashirika ya misaada yanaongeza jitihada kupeleka vyakula katika nchi hiyo iliyopo Magharibi mwa Afrika. Sasa Umoja wa Ulaya unafuata mfano huu. Wakati huo huo, shirika lingine la misaada linadai kuwa nchi zote za dunia zianzishe mfuko wa kupeleka misaada ya haraka ili kuyazuia majanga kama hili la Niger.
ROME: Niger yakabiliwa na balaa la njaa kubwa
NIGER :Watu wa Niger wasaidiwa kukabili njaa
Niamey. Rais wa Niger kuzuru maeneo yaliyoathirika na njaa.
Niamey. Niger yapatiwa msaada wa chakula na Ufaransa na umoja wa Afrika.
Janga la njaa nchini Niger
Mashirika ya kimataifa ya misaada yataongeza misaada kwa nchi ya Niger, iliyopo Magharibi mwa Afrika, kutokana na tatizo la njaa linaloikumba nchi hiyo. Shirika la mpango wa chakula la Umoja wa Mataifa, WFP, litaongeza misaada mara tatu. Shirika hili linaomba watu wachangie ili waweze kuwasaidia watu milioni 1.2 waliokumbwa na tatizo hili, lililosababishwa na ukame.
NIAMEY: Misaada inaanza kuwasili Niger
NIGER. Misaada ya chakula yaanza kuingia
Niamey. Shehena ya kwanza ya chakula cha msaada yawasili nchini Niger.
MARSEILLE Msaada wa chakula wapelekwa Niger
New York. Niger ukingoni mwa maafa ya kibinadamu.
Ukurasa uliotangulia
Ukurasa 10 wa 11
Ukurasa unaofuatia