SiasaAsia
Lee Jae-myung aapa kutuliza joto kati yake na Pyongyang
4 Juni 2025Matangazo
Lee alizungumza na kamanda mkuu wa jeshi la nchi hiyo na kuchukua udhibiti rasmi wa operesheni za vikosi vya jeshi hilo, huku akilihimiza kuendelea kudumisha utayari, ikiwa kutakuwa na uchochezi kutoka Pyongyang.
Lee aelekea kushinda uchaguzi wa rais Korea Kusini
Lakini katika matamshi yake ya kwanza, alisema kuwa yuko tayari kwa mazungumzo.
Lee ameongeza kuwa utawala wake utazingatia umoja na kusema umoja ni alama ya umahiri, huku mgawanyiko ukiwa matokeo ya udhaifu.