Kama wasichana wengine wenye ndoto ya kuwa watu wa kutegemewa kwenye mataifa yao, alitamani kuwa mwanajeshi kwenye idara ya vilipuzi lakini mambo hayakuwa upande wake na kujikuta kwenye taaluma ya magari kama makanika. Hapo anatamani pia kufungua karakana itakayowaajiri wasichana na wanawake tu.