Wakati waumini wa Kiislamu wakiwa kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan na baadhi ya madhehebu ya Kikristu yakitarajiwa kuanza Kwaresma kuanzia siku ya Jumatano, bado kuna fikra tofauti kuhusu kutimizwa kwa ibada hizi. Je, wewe una mtizamo gani katikati ya mabadiliko kuanzia ya mazingira na sayansi na teknolojia? Tizama video hii, kisha utupe maoni yako. #kurunzi